Fununu tukizozipata mchana huu ni kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete (pichani), kuna uwekano jioni ya leo anaweza kutangaza mabadiliko ya Baraza la Mawaziri.
Baraza hilo litatangazwa mbele ya vyombo vya habari, Ikulu, Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Blogu yako ya Kamanda wa Matukio inaahidi kuwataarifu wadau, kadri mambo yatavyokuwa yanazidi kuiva.
Baraza hilo litatangazwa mbele ya vyombo vya habari, Ikulu, Dar es Salaam na kuhudhuriwa pia Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk. Mohamed Gharib Bilal.
Blogu yako ya Kamanda wa Matukio inaahidi kuwataarifu wadau, kadri mambo yatavyokuwa yanazidi kuiva.
Comments