DK BILAL AFUNGA MAFUNZO YA WAKUU WA MIKOA NA WILAYA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Jaji Joseph Sinde Warioba ambaye lpia ni Mwenyekiti wa Tume ya  Mabadiliko ya Katiba ambaye alizungumza katika Mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha  Saint Gaspar Mjini Dodoma May 30,2012. Kulia ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 Makamu wa Rais Dkt Mohamed Bilal akiteta na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda baada ya kufaunga mafunzo ya Wakuu wa Mikoa na Wilaya na Makatibu Tawala wa Mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha Saint Gaspar Mjini Dodoma May 30, 2012. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*