IRENE FRANCIS WA CITI BANK ADHIIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA

 Mfanyakazi wa Citi Bank, Irene Francis akisaidiwa na mtoto kukata keki wakati wa muadhimiasha siku ya yake ya kuzaliwa jana wakati wa wakati wa tamasha la kufunga ligi kuu ya England na kuzindua kampeni ya kumsaka shabiki bora wa mwaka atakayewakilisha nchi kushangilia mashindano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) yanayotarajiwa kufanyika Afrika Kusini mwakani. Tamasha hilo lililoandaliwa na bia ya Castle Lager lilifanyika ufukwe wa Mbaramwezi, Msasani, Dar es Salaam
Irene akimlisha keki mwanawe
Irene akimlisha keki mmowa wa watu wake wa karibu

Irene akiwalisha keki marafiki zake

Irene (katikati) akicheza muziki uliokuwa ukiporomoshwa na Bendi ya Bora Bora

Bendi ya Bora Bora ikifanya vitu vyake

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*