Mkurugenzi Mtendaji wa ambaye pia ni Mtayarishaji Mkuu wa Blog hii, Kamanda Richard Mwaikenda akiangalia mandhari ya kiota kipya cha Rock Hill, kilichopo katikati ya Mombo na Korogwe barabara Kuu ya Segera-Arusha, mkoani Tanga jana.
Kamanda Mwaikenda akiendelea kuvinjari katika hoteli hiyo ambayo kwa aslimia kubwa inahudumia abiria wanaosafiri katika barabara hiyo.
Kijana Samson Maliogo kutoka Dar es Salaam, akiangalia mandhari ya kiota hicho jana
Sehemu mbalimbali za kioata hicho
Kamanda Mwaikenda akiendelea kuvinjari katika hoteli hiyo ambayo kwa aslimia kubwa inahudumia abiria wanaosafiri katika barabara hiyo.
Kijana Samson Maliogo kutoka Dar es Salaam, akiangalia mandhari ya kiota hicho jana
Sehemu mbalimbali za kioata hicho
Comments