Mbunge wa Monduli azungumza na wananchi wa Mto wa Mbu
Waziri Mkuu Msataafu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa akisikiliza swali kutoka kwa mwananchi Mkazi wa Mto wa Mbu, mkoani Arusha juu ya kero mbalimbali zinazowakabili za kiusalama. Lowassa alifanya ziara hiyo jana ya kuzungumza na wapiga kura wake.
Mbunge Lowassa akisikiliza majibu kwenda kwa wananchi yaliyokuwa yakitolewa na Mkuu wa Kituo cha Polisi Mto wa Mbu, Mrakibu wa Polisi (SP) Morris Okinda
Lowassa Akihutubia wananchi katika Mkutano huo wa Hadhara. Kwa picha na maelezo
Comments