Askofu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar Dickson D,Kaganga akibubujikwa na Machozi kwa kuguswa na hotuba iliokuwa ikitolewa na Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud baada ya Kanisa hilo kuchomwa motokatika Vurugu zilizotokea Zanzibar ambapo hadi sasa watu 30 wamekamatwa na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud akitoa hotuba katika Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar kufuatia fujo zilizotokea Zanzibar na kusababisha Kuchomwa moto kwa Kanisa hilo, hapo katika ukumbi wa Kanisa hilo Kariakoo Mjini Zanzibar.hadi sasa watu 30 wamekamatwa na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud akitoa hotuba katika Kanisa la Tanzania Assemblies of God Zanzibar kufuatia fujo zilizotokea Zanzibar na kusababisha Kuchomwa moto kwa Kanisa hilo, hapo katika ukumbi wa Kanisa hilo Kariakoo Mjini Zanzibar.hadi sasa watu 30 wamekamatwa na baadhi yao kuhusishwa na tokeo hilo.
Comments