MICHUANO YA POOL VYUO VYA ELIMU YA JUU DAR YAANZA LEO,FAINALI KESHO


 Timu za Pool za vyuo mbalimbali vya Elimu ya Juu mkoa wa Dar es Salaam, zikiingia kwenye ukumbi wa michuano hiyo, leo, Coco Beach. Vyuo vinavyoshiriki ni, DIT, DSJ, CBE,OUT,TSJ,TIA,ITA,SJMC, Mwalimu Nyerere Memorial Academy, Ardhi,IFM na RCT. Michuano hiyo inadhaminiwa na Bia ya Safari Lager.
 Katibu Mkuu wa Chama Cha  Pool Tanzania, Amos Kafwinga (kushoto) akifungua michuano hiyo leo. Kulia ni Katibu wa chama cha mchezo huo, Ilala, Mohammed Mwarabu ambaye pia ni refa wa mchezo huo.
 Kafwinga akifungua michuano hiyo kwa kucheza Pool
 Wadau wa mchezo huo wakiwa ukumbini kushuhudia kitim timu cha mpambano huo
 Timu ya Pool ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (SJMC wakiwa katika picha ya pamoja.
Wachezaji wa timu ya Chuo cha Royal. Kwa hisani ya Nkoromo Daily Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA