Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (kulia), akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, wakifurahi katika moja ya shughuli ya burudani nchini.
Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chadema asubuhi hii ameshinda kesi iliyofunguliwa na Hawa Ng'umbi wa CCM, kupinga ushindi wake katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 2010.
Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam.
Habari zaidi tutaendelea kuwaletea punde
Mbunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chadema asubuhi hii ameshinda kesi iliyofunguliwa na Hawa Ng'umbi wa CCM, kupinga ushindi wake katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 2010.
Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam.
Habari zaidi tutaendelea kuwaletea punde
Comments