MNYIKA AIBUKA KIDEDEA MAHAKAMANI

Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika (kulia), akiwa na Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi, wakifurahi katika moja ya shughuli ya burudani nchini.

Mbunge wa  Jimbo la Ubungo kupitia Chadema asubuhi hii ameshinda kesi iliyofunguliwa na Hawa Ng'umbi wa CCM, kupinga ushindi wake katika uchaguzi uliofanyika  Oktoba  2010.

Hukumu hiyo imetolewa katika Mahakama Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam.

Habari zaidi tutaendelea kuwaletea punde



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*