Ubao ulivyokuwa unasomeka muda mfupi kabla ya kuanza mechi ya Watani wa jadi Simba na Yanga |
Shabiki wa Simba aliyekuwa amevaa fulana nyekundu na kukaa eneo la Yanga, akitolewa eneo hilo huku akiwa kifua wazi baada ya kuchaniwa na wapenzi wa Yanga. PICHA ZOTE NA KAMANDA MWAIKENDA |
Shabiki wa Simba akiwa na picha kubwa ya mnyama Simba |
Kikosi kilichocheza na Simba katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara |
Kikosi cha Simba kilichocheza na Yanga leo kwenye Uwanja wa Taifa |
Comments