PATRICK MAFISANGO AZIKWA NYUMBANI KWAO LEMBA NJE KIDODO YA KINSHASA LEO

Waombolezaji wakibeba jeneza la mwili wa Marehemu Patrick Mutesa Mafisango aliyekuwa mchezji wa timu ya Simba wakati wa mazishi ya mchezaji huyo leo huko Lemba nje kidogo ya jiji la Kinshasa DRC Congo ambako amepumzishwa katika nyumba ya milele, Mafisango alikuwa ni mchezaji tegemeo wa timu ya Simba kutokana na uwezo wake katika kucheza mpira wakati alipokuwa akiitumikia timu ya Simba.
Fullshangweblog ilishuhudia mazishi hayo na inakumuvuzishia baadhi ya Taswira zilizopatikana wakati wa mazishi hayo
MUNGU AILAZE MAHALI PEMA PEPONI ROHO YA MAREHEMU PATRICK MUTESA MAFISANGO AMEN.
Hii ndiyo numba ya milele ya Marehemu Patrck Mafisango iliyojengwa nyumbani kwao Lemba nje kidogo ya jiji la Kinshasa nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya DRC Congo ambamo marehemu amehifadhiwa leo.Kwa hisani ya Full Shangwe Blog

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI