Waziri Mkuu,Mizengo Pinda (kulia) akizungumza na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia (kushoto) na Waziri wa zamani na Mwanasiasa mkongwe, Mzee Kingunge Ngombale-Mwiru katika semina ya wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na makatibu tawala wa mikoa kwenye Kituo cha mikutano cha St. Gaspar mjini Dodoma. (PICHA ZOTE NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri wa zamani na Mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale-Mwiru, akitoa mada katika semina ya wakuu wa mikoa na wilaya na makatibu tawala wa mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha St. Gaspar mjini Dodoma
Baadhi ya washiriki wa semina ya wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na makatibu tawala wa mikoa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (hayupo pichani) wakati alipofungua kikao chao kwenye Kituo cha Mikutano cha St. Gaspar mjini Dodoma
Wakuu wa wailaya na makatibu tawala wakiwa makini kusikiliza mada wakati wa semina hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, Muhingo Rweyemamu (aliyelegeza miwani), akiwa miongoni mwa wakuu wa wailaya wanaoshiriki katika semina hiyo.
Waziri wa zamani na Mwanasiasa mkongwe Kingunge Ngombale-Mwiru, akitoa mada katika semina ya wakuu wa mikoa na wilaya na makatibu tawala wa mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha St. Gaspar mjini Dodoma
Baadhi ya washiriki wa semina ya wakuu wa mikoa na wilaya pamoja na makatibu tawala wa mikoa wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (hayupo pichani) wakati alipofungua kikao chao kwenye Kituo cha Mikutano cha St. Gaspar mjini Dodoma
Wakuu wa wailaya na makatibu tawala wakiwa makini kusikiliza mada wakati wa semina hiyo.
Mkuu wa Wilaya ya Handeni ambaye kitaaluma ni mwandishi wa habari, Muhingo Rweyemamu (aliyelegeza miwani), akiwa miongoni mwa wakuu wa wailaya wanaoshiriki katika semina hiyo.
Comments