Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,Hamis Baba maarufu kama H Baba(kulia) akiimba na kucheza na watoto waliojitokeza kwenye Kituo cha mabasi wilayani Karatu mkoa wa Arusha katika Bonanza lililoandaliwa na Tigo na kutoa zawadi kwa wananchi mbalimbali waliohudhuria.Picha na mpigapicha
Msanii wa Muziki wa kizazi kipya,Hamis Baba maarufu kama H Baba(kulia) akiimba na kucheza na watoto waliojitokeza kwenye Kituo cha mabasi wilayani Karatu mkoa wa Arusha katika Bonanza lililoandaliwa na Tigo na kutoa zawadi kwa wananchi mbalimbali waliohudhuria.Picha na mpigapicha
Comments