Aliyekua Mbunge wa
Sumbawanga Mjini(CCM)Aeshi Hillary
----
Aliyekuwa Mbunge wa
Sumbawanga Mjini (CCM) Aeshi Hillary amevuliwa ubunge na mahakama, kufuati
hukumu ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini dhidi ya Mwalimu Norbet
Joseph Yamsebo wa Chadema ambaye alidai kuchakachuliwa katika uchaguzi
huo.
Miongoni mwa madai
mengine ni pamoja na kutoa rushwa kwa makundi mbalimbali na watu wengi
walijitokeza kutoa ushahidi huo na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu
mbalimbali ikiwemo fedha, baskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa kanisa
katoliki n.k.
Comments