Aliyekua Mbunge wa Sumbawanga Mjini(CCM)Aeshi Hillary
----
Aliyekuwa Mbunge wa Sumbawanga Mjini (CCM) Aeshi Hillary  amevuliwa ubunge na mahakama, kufuati hukumu ya kupinga matokeo ya Ubunge wa Sumbawanga Mjini dhidi ya Mwalimu Norbet Joseph Yamsebo wa Chadema ambaye alidai kuchakachuliwa katika uchaguzi huo.

    Miongoni mwa madai mengine ni pamoja na kutoa rushwa kwa makundi mbalimbali na watu wengi walijitokeza kutoa ushahidi huo na kukiri kuwa ni kweli walipokea vitu mbalimbali ikiwemo fedha, baskeli, pikipiki, vinywaji, kinanda kwa kanisa katoliki n.k.

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA