Wake wa viongozi wampa pole mama Esther Sumaye

 Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipa Pole Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Esther Sumaye ambaye hivi karibu alifiwa na baba yake mzazi Mzee Natai wakati alipoongoza ujumbe wa wake wa viongozi ambao ni wananchama wa kikundi za New Millenium Group kwenda kuhani msiba huo, nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu (frderick Sumaye (watatu kuli) Kibaha Mei Mosi, 2012. Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

DKT NCHIMBI AWAAHIDI MAKUBWA WANANCHI WA KWELA, RUKWA

DKT NCHIMBI ASHIRIKI MAZISHI YA ASKOFU.GACHUMA WA KANISA LA NLGCC

π™‚π˜Όπ™ˆπ™Šπ™‰π˜Ώπ™„ π™†π˜Όπ˜Ύπ™ƒπ™€π™•π˜Ό π™†π™„π˜½π™„π™‰π™‚π™’π˜Ό.