Wake wa viongozi wampa pole mama Esther Sumaye
Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akipa Pole Mke wa Waziri Mkuu
Mstaafu, Esther Sumaye ambaye hivi karibu alifiwa na baba yake mzazi
Mzee Natai wakati alipoongoza ujumbe wa wake wa viongozi ambao ni
wananchama wa kikundi za New Millenium Group kwenda kuhani msiba huo,
nyumbani kwa Waziri Mkuu Mstaafu (frderick Sumaye (watatu kuli) Kibaha
Mei Mosi, 2012. Kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Comments