WANAFUNZI WAMWADABISHA MZUNGU MVUTA SIGARA AIRPORT DAR

Wanafunzi wakimkimbilia  mzungu kumuonesha mabango yanayokataza kuvuta tumbaku wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kukataza kuvuta Tumbaku Duniani leo Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa jULIUS nYERERE, Dar es Salaam.
Wakiendelea kumuandama mzungu huyo ambaye hata aliendelea kuvuta sigara bila hofu
Mzungu akiwa amezingirwa na matango kila mahala
Hatimaye ameamua kusalimu amri na kuanza kusoma tangazo
                                        ASkiwa hoi baada ya purukushani hiyo. PICHA NA KHAMIS MUSSA

Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

NI SIMBA PEKEE ILIYOFUNGWA ROBO FAINALI

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

DK NCHIMBI AMTEMBELEA MZEE YUSUF MAKAMBA*

AZIZ KI AAHIDI KILA ATAKAYEIFUNGA MAMELODI

HATUTOPAKI BASI DHIDI YA YANGA-MOKWENA

“PEMBA SALUTI KWENU” DK. NCHIMBI*