TGGA WAMUAGA BOSS WA GIRL GUIDES AFRIKA KWA HAFLA KABAMBE

 Mwenyekiti wa Afrika wa World Association of Girl Guides and Girl Scouts (WAGGGS), Zoe Rakotondratovo (kushoto0 na Mjumbe wa Bodi ya Udhamini ya Chama cha Tanzania Girl Guides (TGGA), Zakia Meghji wakipia saluti salamu ya kiskauti baada ya Meghji kuvishwa beji na skafu wakati wa hafla iliyoandaliwa  na TGGA kwa mwenyekiti huyo  jana katika Makao Makuu ya TGGA, Upanga Dar es Salaam. 

Rakotondratovo ambaye aliambatana na Meneja Mahusiano, Marie Rafenoarisoa alikuwa  nchini kwa ziara ya kikazi ya siku tatu ambapo alitembelea Makao Makuu ya TGGA Upanga na miradi ya chama hiyo. Ziara hiyo ilikuwa maalumu kwa ajili ya kuipongeza TGGA kwa kuwa wa kwanza Afrika kusajiri wanachama wengi wakifuatiwa na Kenya na Nigeria. IMEANDALIWA NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG;0715264202,0754264203

Mwenyekiti wa Afrika wa World Association 
of Girl Guides and Girl Scouts (WAGGGS), 
Zoe Rakotondratovo akionesha zawadi ya kitenge alichozawadiwa na Kamishna wa Kimataifa wa TGGA, Miryam Mjema wakati wa hafla hiyo ya kumuaga.
 Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya TGGA, Grace Makenya akimvalisha khanga Meneja Mahusiano,Marie Rafenoarisoa 


 Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya TGGA, Grace Makenya  akimvalisha Rakotondratovo khanga baada ya zawadi hiyo kumkabidhi.

 Kamishna Mkuu wa TGGA, Symporosa Hangi (kushoto) na Kamishna wa Kimataifa wa TGGA,  Miryam Mjema (kulia0 wakitoka kumpokea Mwenyekiti wa Afrika wa World Association of Girl Guides and Girl Scouts (WAGGGS), Zoe Rakotondratovo tayari kuingia kwenye hafla ya chakula cha usiku Makao Makuu ya TGGA, Uapanga


 Meghji akimlaki Meneja Mahusiano wa WAGGGS Afrika, Marie Rafenoarisoa 
 Kamishna Mkuu wa TGGA, Symporosa Hangi  akitoa utambulisho wa baadhi ya waalikwa kwenye hafla hiyo
 Kaimu Mwenyekiti wa Bodi ya Udhamini ya TGGA, Grace Makenya akitambulishwa
 Kamishna wa Kimataifa wa TGGA,  Miryam Mjema akitambulishwa
 Marafiki wa TGGA wakitambulishwa
 Viongozi wa TGGA kutoka Mkoa wa Lindi wakitambulishwa
 Girl Guides wakitambulishwa
 Wafanyakazi wa TGGA Makao Makuu, wakitambulishwa
Saada El Maamry akimtuza msanii
 Msanii aliyekuwa akitumbuiza katika hafla hiyo akituzwa na Kamishna Mkuu wa TGGA, Hangi na Rafiki wa chama hichoClara Makenya.(kulia)

 Rakotondratovo akipata mlo wa usiku ulioandaliwa kwa ajili yake wakati wa hafla ya kumuaga
Kamishna wa Kimataifa wa TGGA, Miryam Mjema akiwa na marafiki wa chama hicho Mecy Mchechu na Saada El-Maamry walipokuwa wakichukua mlo wa usiku
 Sasa ni wakati wa maakuli







 Wakicheza muziki
 Mwenyekiti wa Afrika wa World Association of Girl Guides and Girl Scouts (WAGGGS), Zoe Rakotondratovo (kushoto), akimvisha beji Mbunge wa Viti Maalumu, Hamida Abdallah ikiwa ni shukrani baada ya mbunge huyo kutoka Mkoa wa Lindi kuhudhuria hafla hiyo
Mwenyekiti wa Afrika wa World Association of Girl Guides and Girl Scouts (WAGGGS), Zoe Rakotondratovo akitoa neno la shukrani
 Viongozi wa TGGA wakiwa na marafiki wa chama hicho
 Viongozi wa TGGA, wakiwa na wafanyakazi wa TGGA Makao Makuu
  Mjumbe wa Kamati ya WAGGGS Afrika, Florentina Mganga akimvisha zawadi ya skafu Zakia Meghji

 Meghji akivishwa beji ya WAGGGS



Comments

HABARI ZILIZOSOMWA ZAIDI

MAKABILA 10 YENYE WANAWAKE WAREMBO TANZANIA

HAKUNA BINADAMU ALIYESALIMIKA NA UPOFU HUU...

SERIKALI KUWACHUKULIA HATUA WATANZANIA WATAKAOVAA JEZI ZA MAMELODI AU AL AHLY

CHATANDA AFUNGUA MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI WANAWAKE WA MIKOA 11

KINANA ASIMIKWA KUWA MMOJA WA MACHIFU WA WAPARE, SAME MAGHARIBI

KOCHA BENCHIKHA AMESEPA

MASHUSHUSHU WA MAMELODI WALIKUJA KUTUPELELEZA: HERSI